Msanii chemical aingia kwenye bifu Kali na msanii mwenzake maarufuu kama rose ree,hii imejitokeza baada ya wasanii hao wa kike kupambanishwa na mashabiki wao.
Chemical aliliongelea suala hilo kwa kusema,nukuu "sitaki kupambanishwa na watoto" akimanisha mpinzani wake kwake ni mtoto tu.
Vilevile chemical aligusia suaala la wanamziki wanaoingia kwenye game kwa niaba ya kuwashusha wengine badala ya kupigana kufikia malengo.
No comments:
Post a Comment