Katika maisha kuna vitu vipo kwa lengo la kukukwamisha usipae kimaendeleo,vitu hivyo hisababishwa na kujiendekeza kwa mtu husika.vitu hivyo ni kama vile
1)uvivu:
Siku zote mvivu hawezi fanikiwa kwani mambo yake huyapeleka kivivu na kushidwa kabisa kupiga hatua kimaendeleo.
Kumbuka:imeandikwa kila mmoja atakula kwa jasho.
2)anasa:
Vitu kama pombe,mirungi na starehe zingine zisizokua na maana,ni mambo yanayokumalizia pesa na kujikuta badala ya kusonga mbele wewe unarudi nyuma
Kumbuka:pombe,mrungi nk ni adui wa mafanikio
3)kutokujiamini:
Uoga wa kujaribu ni kansa inayokushusha kimafanikio na kukufanya usiendelee kabisa,ni vyema kujaribu na sio kuogopa.
Kumbuka:uoga wako ni kushidwa kwako.
No comments:
Post a Comment